Kabwa - Swahili - English


a
b
c
d
e
f
g
h
i
j
k
m
n
o
p
r
s
t
u
w
y

e


ekineteebhinetenmgugu maji (jamii ya kabichi)type of water cabbage
ekingʼeerereebhingʼeererenmkitoto kichanganewborn (baby)
ekingʼeningʼeniebhingʼeningʼeninmmtoto wa jicho (aina ya ugonjwa wa macho)cataract (eye disease)Hanú oraabhe na ekingʼeningʼeni muriiso otakurora.Utakapokuwa na mtoto wa jicho, hutaona.When you have a cataract, you can't see.
ekingʼiritiebhingʼiritinmufizigum (of the mouth)
ekingʼorooraebhingʼorooranmaina ya mti jamii ya mgungatype of acacia tree
ekiniiniebhiniininm1kokwa, koko (la tunda)pit, stone (of a piece of fruit)2ng'arange (yaani, kiini cha mti)heartwood (at the center of a tree)3kiini cha yaiyolk (of an egg)
ekinkubhiebhinkubhinmlikuliku (aina ya ndege)African gray hornbill
ekinkuuriebhinkuurinmmuhindi ambao unavunwa lakini haujakomaa (umefubaa baada ya kukoswa mvua ya kutosha)harvested maize that is underdeveloped (due to insufficient rain)
ekinokoebhinokonmunga uliokandwa (kwa kutengenezea pombe)wort (in alcohol production)
ekinokonokoebhinokonokonmpembeni, kona (ya jicho)corner (of the eye)
ekinonoebhinononmkilele (cha paa)peak (of a roof)
ekinsembeebhinsembenmaina ya samaki (anayefanana na furu)type of small fish
ekinsongyoebhinsongyonmkilele (cha mlima)peak, summit
ekintambaebhintambanmmbayuwayuswallow, swift (type of bird)
ekintuebhintunm1kituthing, objectekintu ekibhiibhi;kitu kibaya;bad thing2chombovessel, container
ekinuunoebhinuunonmndumiko (kifaa kinachotengenezwa kutoka pembe la ng'ombe na kutumika kuvutia damu sehemu yenye maumivu makali)cupping horn (used to remove blood from a painful spot on the body)
ekinyamboosoebhinyamboosonm1kidole cha mwisho (cha mkono)little finger2kidole cha mwisho (cha mguu)little toe
ekinyamuriebhinyamurinm1kivurugaji, kiharibifudisruption, pest2kihalifuillegal thing
ekinyamutahoebhinyamutahonmkilembwe (mjukuu wa mjukuu)great-great-grandchild
ekinyanduukuebhinyanduukunmmtindo fulani wa kusuka nyweletype of hairstyle with braids
ekinyariebhinyarinmkiweleudder
ekinyegenyegeebhinyegenyegenm1mkono (kati ya mbega na kiko)upper arm2shavu la mkono (yaani, musuli mkuu wa mkono)bicep
ekinyereraebhinyereranmfumbomystery, puzzle
ekinyereronmkapenyo ka kuingilia wigogap for entering the cattle pen
ekinyigitanmunyevuhumidity, moisture