Kabwa - Swahili - English


a
b
c
d
e
f
g
h
i
j
k
m
n
o
p
r
s
t
u
w
y

r


-ruru2vum1-kali (mtu au mnyama)fierce (for a person or animal)2-kali (kisu)sharp (for a knife)ekigeso ekiruru;kisu kikali;sharp knife3-kali (pombe)potent (for alcohol)amarwa amaruru;pombe kali;potent alcohol4-kali (mwanga wa jua)hot (for sunlight)omubhasu omururu;jua kali;hot sunlight
-ruruta1tnz-vuma (kwa nyuki)buzz (of a bee)
-ruruta2tnz-nung'unika bila kikomocomplain endlessly
-ruruujatnz-tupathrow, tossAbhaana bhararuruuja abhantu amagina kunjira.Watoto wanatupia watu mawe njiani.The children are throwing stones at people on the path.
-ruryatnz-piga mluziwhistle (to get someone's attention)
-rutatnz1-vutapull2-chota, -teka (maji)draw (water)3-vuta (mshale)draw (an arrow)4-vuta (k.m., sigara, bangi, n.k.)smoke (e.g., cigarettes, marijuana, etc.)
-ruta omwikatnz-vuta hewainhale, breathe in (lit., pull breath)
ruuhaeleliniwhen
-ruujitnz-meonahave seenBhakamukyukya ega, “Twaruuji obhuheene ega, OMUKURU aringi hamwi na uuwe.Wakamjibu kwamba, "Tumeona ukweli kwamba, BWANA yuko pamoja na wewe.They responded to him like this: "We have seen the truth that the LORD is with you."-rora
-ruusanʼya obhukurutnz1-toana uongozi, -toana madarakastruggle for powerEkyaro kya Sudani, abhakuru hanú bhararuusanʼya obhukuru, mpaka bharwane hameene kwa abheene.Nchi ya Sudan, viongozi wanapotoana madaraka, mpaka wapigane wenyewe kwa wenyewe. ;In the country of Sudan, when leaders struggle for power, they even fight against each other.2-beba uongozi kwa mabavu (au udikteta)usurp (by force or dictatorship)Idi Amini yaatunga ekyaro kya Uganda kwa okuruusanʼya obhukuru na okumuruusya obhukuru omukuru unú yanga arabhirikirwa Obote.Idi Amini alitawala nchi ya Uganda kwa kubebauongozi kwa mabavu na kumtoa madarakani kiongozi aliyekuwa anaitwa Obote.Idi Amin ruled the country of Uganda by usurping and removing the leader called Obote from power.
-ruusirya amanyingatnz-tolea damudonate blood
-ruusya1tnz1-toa (k.m., zawadi, maoni, n.k.)give, offer (e.g., a gift, an opinion, etc.)2-lipapayTaata akaruusya esiiri inú bhanga bharamutonga mwiduuka.Baba alilipa deni ambalo walikuwa wanamdai dukani.Father paid the debt that he owed them at the shop.-ruusya ekisusa-ruusya obhwamuri
-ruusya2tnz1-ondoa, -toa (nje)remove2-toa (katika somo la hesabu)subtract3-vua nguotake off clothing, undress-ruusya-mo enda
-ruusya3tnz-nyang'anyaplunder, rob
-ruusya ekisusatnz-onekana kwa sura (kwa picha)develop a photo-ruusya1ekisusa 2
-ruusya enjagutnz-toa fainipay a fine
-ruusya obhwamuritnz-toa uamuzidecide, render a verdict -ruusya1obhwamuri 2
-ruusya-mo endatnz-toa mimbaabort, terminate a pregnancy (lit., remove a pregnancy from inside)-ruusya2enda2
rwahuswaof-a
-rwatnz1-tokacome from, come out of, leave, go out2-vujaspill out, leak3-churuzikatrickle awayokurwa
-rwa amanyingatnz-tokwa damubleedamanyinga
-rwa-mo kwa endatnz-haribika kwa mimba (sis., -tokamo kwa mimba)miscarry a pregnancy (lit., come out of inside a pregnancy)enda2
-rwanatnz-piganafight
-rwaniratnz-piganiafight for, stand up for
-rwanʼyatnz1-piganishamake (someone or some animal) fight2-shambuliaattack