Kabwa - Swahili - English


a
b
c
d
e
f
g
h
i
j
k
m
n
o
p
r
s
t
u
w
y

r


-rengekanʼya1tnz-kadiriaestimate, approximate
-rengekanʼya2tnz-linganisha, -fananishacompareekirengekanʼyo
-rengerevumtoshelevu (yaani, -a kutosha)adequate (in amount), sufficient (in amount)Omusubhaati atuheeri obhusye obhurengere, tuteekeri obhukima, turiiri, tweeguta.Dada ametupa unga toshelevu, tumepika ugali, tumekula, tukashiba.The lady had given us enough ugali that we had cooked it, eaten it, and were full.
-rengereranʼyatnz-kubalianaagree with each other
-rengereryatnz1-patia (kwa akili)understand, grasp (mentally)Atakurengererya amangʼana.Hapatii mambo.He doesn't understand things.2-hakikishamake sureJooni, orarengererya ega oni ndakora emirimu gyetu bhujomu?John, unahakikisha kwamba mimi nafanya kazi zetu vizuri?John, are you making sure that I'm doing our work well?3-bashiri, -bahatishapredict, guessYeesu akabhuurya omufarisaayo umwi ega: "Rengererya niwi ariija okubharuusya abhantu bha Israeri munyanko?"Yesu akauliza mfarisayo mmoja kwamba: "Bashiri ni nani atakuja kuwatoa watu wa Israeli kwenye shida."Jesus asked a Pharisee this: "Predict who it is that will come to deliver the people of Israel from trouble?"
-rengeryatnz-dokezasuggest, hintRengerya abhantu n-kyego bhakahaire mukiikaro kya reero.Dokeza watu jinsi watakavyoongea kwenye kikao cha leo.Suggest to people how they should speak at today's meeting.
-rengya1tnz-simulianarrate, recountJaaji akaamba okurengya amangʼana ga akare n-kyego bhaakoranga.Babu alianza kusimulia mambo ya zamani jinsi walivyokuwa wakifanya.Grandpa started to recount how they did things a long time ago.
-rengya2tnz-jaributryRengya ogende turore nyoore bhakakutige ohite.Jaribu uende tuone kama watakuacha upite.Try to go and we'll see if they will let you pass.
-rera1tnz-learear, raise (a child)okurera omwana;kulea mtoto;to raise a child
-rera2tnz-tibu (k.m., kidonda, ugonjwa, n.k.)treat (e.g., a wound, an illness, etc.)
-rerevum-changayoung, immatureOmuguha gunu gukyari omurere.Muwa huu bado ni mchanga.This sugarcane plant is still young.
-ritnz1-ko, -po (yaani, -wa mahali fulani)be (in a location)Omukuru Waryubha ari hamwi na uuwe.Bwana Mungu yuko pamoja na wewe.The Lord God is with you.2-wabe-tari
-ribhatnz1-ziba (k.m., bomba)block (e.g., a water pipe), stop up2-zuiaprevent, hinderomuribhu wa amatwi-ribhira
-ribha amatwitnz1-ziba masikiostop listening (lit., block the ears)2-wa kiziwibe deaf
-ribha emyoyotnz-ziba sauti (ya mtu)be hoarseHanu ngʼinawaabho yaaringa agiiri okurima mumugunda, omwana akakuura mpaka akaribha emyoyo.Mama yake alipokuwa ameenda kulima shambani, mtoto akalia mpaka akaziba sauti.When his mother had gone to farm in the field, the child cried until he was hoarse.
-ribhiratnz-zuiaprevent, hinder, obstruct-ribha
-ribhira omwikatnz-zuia pumzihold one's breath
-ribhuvum-enye kuzibikaclosed-off, blockedEridumu rirya riribhu ritaana omunwa gwa okuhitirya amanji.Dumu lile ambalo limezibika halina mdomo wa kupitishia maji.That closed-off jug doesn't have a hole for water to get through.
-riganʼyatnz-tatanisha, -tatiza, -changanya (mtu)perplex, puzzle, confuse (someone)
rigetyanmmonjo (yaani, mchezo wa pia kwa watoto)spindle game for children
-rigita1tnz-tetemekashiver, trembleOmubhiri gwani gurarigita.Mwili wangu unatetemeka.My body is trembling.
-rigita2tnz-babaikamumble, stammer
-rihatnz-lipapay-riha ekisiyomba
-riha ekisiyombatnz-lipiza kisasiavenge (lit., pay vengeance)-rihaekisiyomba
-rihotnz-wepo, -wapobe here, be there (in a particular location)